ads

Monday, March 12, 2018

HABARI ZA MASTAA Tunda na Casto Dickson wamezungumza ‘Tukiwa wapenzi kuna Ubaya Gani?”



Baada ya kuonekana kuwa karibu na kuibua headlines mitandaoni kati ya Staa Tunda na Mtangazaji Casto Dickson kudaiwa kuwa wanatoka kimapenzi, sasaAyo TV na millardayo.com imewapata mastaa wote wawili tena wakiwa pamoja ambapo wamezungumzia hilo.
Casto Dickson amesema kwamba yeye ni meneja wa Tunda na kuna project mpya inakuja inayowahusu ma-house girl ambapo Tunda atakuwa Balozi wao na kwa upande wa Tunda na yeye alisema ni kweli ni project inakuja ila watawaeleza mashabiki ikishakamilika.
Bonyeza PLAY hapa chini kuwasikiliza wote wakielezea..

WEMA NA PAPII: Wema alivyomtunza baada ya kumuimbia
“Nilikutana na Tunda, Laki amelipa asingelipa Dunia ingesimama kidogo” – Aunty Ezekiel

No comments:

Post a Comment