ads

Saturday, March 24, 2018

Rashford ataiongoza Uingereza kwenye safu ya ushambuliaji katika michuano ya kombe la dunia mwaka huu

Mshambuliaji wa Manchester United Marcus Rashford, 20, ameibuka kuwa gumzo kwa klabu ya Real Madrid wakihitaji kumsajili majira ya joto. (Sport via Mail)
Vilabu vya Manchester City na Manchester United vinawania kumsajili mlinzi wa kati wa Ujerumani na Bayern Munich Jerome Boateng. (Sun)
Meneja wa Ubelgiji Roberto Martinez haamini kutumiwa kwa kiungo Eden Hazard kama mshambuliaji wa kati, na anaamini kocha Antonio Conte anamtumia visivyo mchezaji huyo. (Express)

No comments:

Post a Comment